Hii ni kwenye mkutano wa Taifa The Church of God of Prophecy
Wednesday, June 13, 2012
Tuesday, June 12, 2012
Monday, June 11, 2012
Wazee wa kanisa wakiwa Mbagala
Baba mchungaji Manford Kijalo wa chuo kikuu cha Tumaini akiwa na baadhi ya wazee wa kanisa
Watoto hawa wakifurahia uumaji wa Mungu na mazingira tulivu Bwana aliyoyafanya, hakika wamependeza
Kabogolo akiwa ofisini akifanya maombi kabla ya kuanza kazi. Hapa ni Teofilo Kisanji University Mbeya, ni vema kuanza na Bwana katika kila jambo tulifanyalo.
Mh! dogo ameweka pozi la hatari katika kufuatilia maonyesho ya watoto wenzake juu ya kushika maneno ya Biblia.Hapa ni Mwendapole Church of God of Prophecy
Watoto hawa wakifurahia uumaji wa Mungu na mazingira tulivu Bwana aliyoyafanya, hakika wamependeza
Kabogolo akiwa ofisini akifanya maombi kabla ya kuanza kazi. Hapa ni Teofilo Kisanji University Mbeya, ni vema kuanza na Bwana katika kila jambo tulifanyalo.
Mh! dogo ameweka pozi la hatari katika kufuatilia maonyesho ya watoto wenzake juu ya kushika maneno ya Biblia.Hapa ni Mwendapole Church of God of Prophecy
Subscribe to:
Comments (Atom)